tamsana
Platinum Member
- Jan 13, 2012
- 3,830
- 8,247
Habari zenu wadau wa hili jukwaa! Sim yangu ya TECNO P5 imepata tatizo la kujizima yenyewe na ukiwasha inastack na kuzima tangia asubuhi ya leo nikapata akili ya kutoa memory card hatimaye ikafanya kazi bila tatizo, nikajaribu kuirudisha mambo yakawa yaleyale ya kuwaka na kustack.
Je! nifanye nini ili niweze kutumia memory card yangu bila hilo tatizo
Je! nifanye nini ili niweze kutumia memory card yangu bila hilo tatizo