John120 Senior Member Joined Jun 13, 2021 Posts 138 Reaction score 282 Aug 22, 2022 #1 Habari za muda huu ndg zangu! Samahani sana wadau mwenye kufahamu upatikani wa hiki kifaa popote hapa nchini kwetu Tanzania.....naamini Tanzania ni pana na ina watu wengi kila kona Jina la kifaa: round stainless heater/ ring heater/band heater Samahani sana mwenyewe kujua naomba tuwasiliane: johnmaneno20@protonmail.com Attachments IMG_20220822_185717.jpg 38.6 KB · Views: 6
Habari za muda huu ndg zangu! Samahani sana wadau mwenye kufahamu upatikani wa hiki kifaa popote hapa nchini kwetu Tanzania.....naamini Tanzania ni pana na ina watu wengi kila kona Jina la kifaa: round stainless heater/ ring heater/band heater Samahani sana mwenyewe kujua naomba tuwasiliane: johnmaneno20@protonmail.com
John120 Senior Member Joined Jun 13, 2021 Posts 138 Reaction score 282 Aug 22, 2022 Thread starter #2 Jamani naombeni msaada mwenye kufahamu hili
kwetugt JF-Expert Member Joined May 24, 2015 Posts 296 Reaction score 291 Aug 22, 2022 #3 Agiza nje utapata wiki mbili
John120 Senior Member Joined Jun 13, 2021 Posts 138 Reaction score 282 Aug 22, 2022 Thread starter #4 kwetugt said: Agiza nje utapata wiki mbili Click to expand... Asante mkuu ......shida kwenye kuagiza njee sina uzoefu huo
kwetugt said: Agiza nje utapata wiki mbili Click to expand... Asante mkuu ......shida kwenye kuagiza njee sina uzoefu huo
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 24,626 Reaction score 60,961 Aug 22, 2022 #5 nenda k/koo makutano ya mtaa wa Gogo na Narung'ombe
John120 Senior Member Joined Jun 13, 2021 Posts 138 Reaction score 282 Aug 22, 2022 Thread starter #6 dronedrake said: nenda k/koo makutano ya mtaa wa Gogo na Narung'ombe Click to expand... Gongo la ng'ombe au mi mwenyewe nimeelewa vibaya ? Samahani mkuu.
dronedrake said: nenda k/koo makutano ya mtaa wa Gogo na Narung'ombe Click to expand... Gongo la ng'ombe au mi mwenyewe nimeelewa vibaya ? Samahani mkuu.
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 24,626 Reaction score 60,961 Aug 22, 2022 #7 John120 said: Gongo la ng'ombe au mi mwenyewe nimeelewa vibaya ? Samahani mkuu. Click to expand... 1. kuna mtaa wa Gogo 2. kuna mtaa wa Narung'ombe sasa pale iyo mitaa inapokutana
John120 said: Gongo la ng'ombe au mi mwenyewe nimeelewa vibaya ? Samahani mkuu. Click to expand... 1. kuna mtaa wa Gogo 2. kuna mtaa wa Narung'ombe sasa pale iyo mitaa inapokutana
John120 Senior Member Joined Jun 13, 2021 Posts 138 Reaction score 282 Aug 22, 2022 Thread starter #8 Asante sana mkuu kwa kunielewa mi mjini ni mgeni
John120 Senior Member Joined Jun 13, 2021 Posts 138 Reaction score 282 Aug 22, 2022 Thread starter #9 Lakini mkuu kama pale una uhakika na kweli zipo naomba kama inawezekana unisaidie kujua ni duka gani ( jina)
Lakini mkuu kama pale una uhakika na kweli zipo naomba kama inawezekana unisaidie kujua ni duka gani ( jina)
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 24,626 Reaction score 60,961 Aug 22, 2022 #10 John120 said: Lakini mkuu kama pale una uhakika na kweli zipo naomba kama inawezekana unisaidie kujua ni duka gani ( jina) Click to expand... kuna maduka kibao pale, na ndiyo ni chimbo langu haswa kwa spare parts za umeme za kiwandani/nyumbani/etc ukikosa pale, ndoto kupata sehemu nyingine,
John120 said: Lakini mkuu kama pale una uhakika na kweli zipo naomba kama inawezekana unisaidie kujua ni duka gani ( jina) Click to expand... kuna maduka kibao pale, na ndiyo ni chimbo langu haswa kwa spare parts za umeme za kiwandani/nyumbani/etc ukikosa pale, ndoto kupata sehemu nyingine,
John120 Senior Member Joined Jun 13, 2021 Posts 138 Reaction score 282 Aug 22, 2022 Thread starter #11 dronedrake said: kuna maduka kibao pale, na ndiyo ni chimbo langu haswa kwa spare parts za umeme za kiwandani/nyumbani/etc ukikosa pale, ndoto kupata sehemu nyingine, Click to expand... Asante sana mkuu kwa msaada wako,,,,,,barikiwa sana atleast nimepata starting point
dronedrake said: kuna maduka kibao pale, na ndiyo ni chimbo langu haswa kwa spare parts za umeme za kiwandani/nyumbani/etc ukikosa pale, ndoto kupata sehemu nyingine, Click to expand... Asante sana mkuu kwa msaada wako,,,,,,barikiwa sana atleast nimepata starting point
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,929 Reaction score 186,036 Aug 23, 2022 #12 Ngoja waje kukupa muongozo...