Msaada Tafadhari kuna mtu amehack account yangu

Msaada Tafadhari kuna mtu amehack account yangu

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,240
Reaction score
8,532
Wakuu Habari za jioni

Nina email yangu ya Gmail ambayo nilikuwa natumia pia kwenye simu yangu ya iPhone 7

Sasa wiki tatu zilizopita niliibiwa simu yangu pale mwenge mataa

Ila Leo jioni hii nimepata jumbe kadhaa kutoka Google nitaziupload soon na pia after kupata hizo jumbe siwez tena kuingia kwenye account yangu

IMG-20220506-WA0010.jpg


IMG-20220506-WA0011.jpg
 
Wakuu Habari za jioni

Nina email yangu ya Gmail ambayo nilikuwa natumia pia kwenye simu yangu ya iPhone 7

Sasa wiki tatu zilizopita niliibiwa simu yangu pale mwenge mataa

Ila Leo jioni hii nimepata jumbe kadhaa kutoka Google nitaziupload soon na pia after kupata hizo jumbe siwez tena kuingia kwenye account yangu

View attachment 2214489

View attachment 2214490
Una maanisha simu yako haikua hata na iCloud password?!
 
Back
Top Bottom