James Hungury
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 825
- 612
WADAU HABAR ZA KWENU,
mimi nina swali mmoja,nina mdogo wangu alifanya application ngazi ya degree na kwenye website ya nacte siku zilizopita.lakini cha kushangaza hakupokea email nacte yoyote inayomtambulisha password yake ya kuingilia kwenye website katika email account yake.,Eti hapo kuna kuna maanisha nini?je asubiri mpaka manjina yatoke tu?na je ni lini?
hebu nipeni mshauri nimshauri,
mimi nina swali mmoja,nina mdogo wangu alifanya application ngazi ya degree na kwenye website ya nacte siku zilizopita.lakini cha kushangaza hakupokea email nacte yoyote inayomtambulisha password yake ya kuingilia kwenye website katika email account yake.,Eti hapo kuna kuna maanisha nini?je asubiri mpaka manjina yatoke tu?na je ni lini?
hebu nipeni mshauri nimshauri,