Msaada tafadhar

Msaada tafadhar

Lio 002

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2014
Posts
436
Reaction score
68
Ndugu wana Jf nina simu yangu ya Iphone 4 nilibadili version yake ila baada ya kuja kuwaka ikawa ina nidai ID na vitu vingne ambavyo mm nilishavisahau so natakiwa ku unlock mwenye maarifa juu ya hilo swala njia mbadala tukiachana na ile ya e-mail hadi nitume dolla mia mbili na hamsini naomba anijuze tafadhari
 
Ni apple ID

Apple ID si unaifahamu? Kama unaifahamu inamaana unachokosea ni PASSWORD?

Kama ni PASSWORD unakosea unaweza ukaibadilisha hiyo Password ila itabidi uingie kwenye Akaunti yako uliyoitumia kwenye Apple ID.

Kama Apple ID huifahamu, nadhani wataalamu kwenye hiyo kitu watakufahamisha nini unaweza kufanya.
 
Apple ID si unaifahamu? Kama unaifahamu inamaana unachokosea ni PASSWORD?

Kama ni PASSWORD unakosea unaweza ukaibadilisha hiyo Password ila itabidi uingie kwenye Akaunti yako uliyoitumia kwenye Apple ID.

Kama Apple ID huifahamu, nadhani wataalamu kwenye hiyo kitu watakufahamisha nini unaweza kufanya.

Yaaaan hapo ndugu vyooote sivifahamu apple ID na password I don't know what to do
 
Ndugu wana Jf nina simu yangu ya Iphone 4 nilibadili version yake ila baada ya kuja kuwaka ikawa ina nidai ID na vitu vingne ambavyo mm nilishavisahau so natakiwa ku unlock mwenye maarifa juu ya hilo swala njia mbadala tukiachana na ile ya e-mail hadi nitume dolla mia mbili na hamsini naomba anijuze tafadhari

Umebadili kwenda iOS ngapi?
 
Umebadili kwenda iOS ngapi?

Yaaaan kaka spo vzur saana so sifahamu haswa ilikuwa ni iOS ngapi kwa sababu nilimpa mtu aende akanibadilishye kutokana na majukumu niliyo nayo ndugu yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom