Ndugu nilikua na sim aina ya samsung galaxy ,nikaibiwa sim hiyo ,masaa machache tu namba yangu ikawa haipatikani ila nilikuwa nimelog in kwa kutumia facebook katika sim yangu,nadhani mtu huyo hajalog out .maana kila nikitumia device nyingine najiona niko onlinenaweza je kumpata huyo mtu hata kwa kutumia google map ?