pepim
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 335
- 51
Habari wanajf wenzangu, hongereni na majukumu ya hapa na pale.....Mwenzenu nina tatizo la kukojoa sana wakati wa ucku, si chini ya mara nne kwa usiku mmoja, na tatizo lina mwezi sasa..Cha ajabu maji sinywi sana hasa wakati huo wa usiku.....MAWAZO NA USHAURI WENU NDIO MSAADA KWANGU ILI NIONDOKANE NA HILO TATIZO...Wenye weledi wa udaktari, mawazo yao ndio yatapewa kipaumbele...NIMEWASILISHA