K kipira Senior Member Aug 5, 2009 142 56 Feb 14, 2012 #1 Natumia blackberry curve, niki-login ktk JF cm yangu inagoma kufungua JF topic details, ninaweza ku view topics tu. Imeanza jana.
Natumia blackberry curve, niki-login ktk JF cm yangu inagoma kufungua JF topic details, ninaweza ku view topics tu. Imeanza jana.
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Feb 14, 2012 #2 Hilo tatizo hata blackbery yangu inayo, inakataa kulog in.
Adrian Stepp JF-Expert Member Jul 1, 2011 2,764 2,581 Feb 14, 2012 #3 SASA blackberry curve na jukwaa la siasa wapi na wapi??? ningekua mi ni moderator mngeisoma na akili zenu za mwana asha
SASA blackberry curve na jukwaa la siasa wapi na wapi??? ningekua mi ni moderator mngeisoma na akili zenu za mwana asha
E EL MAGNIFICAL JF-Expert Member Jan 11, 2011 938 125 Feb 14, 2012 #4 kazi kweli kweli kama na bb nayo ni siasa
N nicksemu Senior Member Feb 6, 2012 199 39 Feb 14, 2012 #5 [h=2]Jukwaa la Siasa[/h] Tanzania's Political Forum. Tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
[h=2]Jukwaa la Siasa[/h] Tanzania's Political Forum. Tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!