Wanajamvi natumaini mpo salama,
Nipo kwenye ndoa kwa miaka kadhaa sasa ila siifurahii ndoa yangu. Na sababu kubwa ni x wa mwenzangu, yupo nao busy utadhani hajaoa kuna wakati nahisi alikosea maybe sikuwa chaguo lake!
Nimejaribu kuongea nae mara kadhaa kuhusu hiyo issue hana la kunijibu zaidi ya kunijibu namhisi vbya, nilijaribu kufanya uchunguzi ambao uliniumiza na unaniumiza mpaka hivi sasa baada kigundua kuna x wawili ambao wanaendelea na mahusiano hadi sasa!
Nimeumizwa sana kitendo kitendo hiki kiasi naanza kuona athari katika mwili wangu! Kilichopelekea nifanye utafiti ni kuwa mume huyu hana muda na mimi hata kdg! na ndipo nilipogundua hayo.
Kuna siku aliwahi kukiri na kuomba msamaha lakini hazikupita siku mbili mambo yakajirudia.
Ushauri wenu ni muhimu sana!
Nipo kwenye ndoa kwa miaka kadhaa sasa ila siifurahii ndoa yangu. Na sababu kubwa ni x wa mwenzangu, yupo nao busy utadhani hajaoa kuna wakati nahisi alikosea maybe sikuwa chaguo lake!
Nimejaribu kuongea nae mara kadhaa kuhusu hiyo issue hana la kunijibu zaidi ya kunijibu namhisi vbya, nilijaribu kufanya uchunguzi ambao uliniumiza na unaniumiza mpaka hivi sasa baada kigundua kuna x wawili ambao wanaendelea na mahusiano hadi sasa!
Nimeumizwa sana kitendo kitendo hiki kiasi naanza kuona athari katika mwili wangu! Kilichopelekea nifanye utafiti ni kuwa mume huyu hana muda na mimi hata kdg! na ndipo nilipogundua hayo.
Kuna siku aliwahi kukiri na kuomba msamaha lakini hazikupita siku mbili mambo yakajirudia.
Ushauri wenu ni muhimu sana!