heshima kwenu nyote madoctor na wataalamu wetu..... Nina mdogo wangu ametokea kuwa na upungu wa nywele kichwani(kipala) katika umri mdogo anapata shida sana kwani inambidi kunyoa nyele zote kichwani angalau mara mbili mpaka tatu kwa siku mpaka namwonea huruma japo mimi binafsi naamini kipala sio ugonjwa ni mabadiliko tu yanayotokea katika mwilli. Naomba msaada wa ushauri juu ya anachoweza kufanya ili angalau zile nywele alizobakiwa nazo kichwani zisitoweke kwa yeyote atakayekuwa na ufahamu katika hilo please!!!