Jina langu nimeliona kwenye list ya waliochaguliwa TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Arusha Na TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Mbeya Centre.Lakini Pindi niangaliapo jina langu kwenye list ya waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja HALIPO..naitwa Hamisi Shabani Hamisi..'"Hamisi Hamisi'" namba yangu ni S1080.0070.2010..nifanyaje jamani waungwana.?
kama umeshawemail,,na ukaonyesha chuo unachokitaka,,bac we tulia utapangiwa hicho,,ila usipowajulisha,,wanakutupia chochote kati zile ulizopangiwa,,,pamoja sana,,,
kama umeshawemail,,na ukaonyesha chuo unachokitaka,,bac we tulia utapangiwa hicho,,ila usipowajulisha,,wanakutupia chochote kati zile ulizopangiwa,,,pamoja sana,,,
Jina langu nimeliona kwenye list ya waliochaguliwa TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Arusha Na TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Mbeya Centre.Lakini Pindi niangaliapo jina langu kwenye list ya waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja HALIPO..naitwa Hamisi Shabani Hamisi..'"Hamisi Hamisi'" namba yangu ni S1080.0070.2010..nifanyaje jamani waungwana.?
kama umeshawemail,,na ukaonyesha chuo unachokitaka,,bac we tulia utapangiwa hicho,,ila usipowajulisha,,wanakutupia chochote kati zile ulizopangiwa,,,pamoja sana,,,