Endelea kuteseka. Unalipa kejeli na dhihaka ulizokuwa unaonesha kwa wahanga wa ugaidi wa Jiwe.Wakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
We msukuma unachotakiwa kufanya ni kuelekea uko ambapo huyo rais ameelekea akakuongoze uko uko..Wakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
Acha ujinga wa kuamini visivyowezekana. Magufuli hatarudi na rais aliyepo ataendelea kuwa rais hata kama huamini au hupendi. Wakati mwingine tunajitengenezea mazingira ya ugonjwa wa moyo. SHH ni rais wetu hata kama humpendi.Wakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
Watanzania hasa wa Tanganyika tumepata hasara tena kubwa. Huyu mama ni kimeo.Hopeless kabisa, mtu hana vision wala mission; wa kazi gani sasa
Kufa umfuate diktetaWakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
Wakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
Watanzania hasa wa Tanganyika tumepata hasara tena kubwa. Huyu mama ni kimeo.
Mwaka 2025 hatuchagui Mzanzibari wala mwanamke.
Nduguye na Call Manwewe ni Sukuma gang ?
Wakati wenzako wamesha move on. Wewe endelea kuweweseka, hizo imani zako sijui moyo wako hazitasaidia hii nchi.Wakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
Unless ww n kiongozi mkubwa serikalini, au top official ccm maybe. Lakin sasa ww ni mwananchi wa kawaida ambae kura yako moja doesnt matter sana.Watanzania hasa wa Tanganyika tumepata hasara tena kubwa. Huyu mama ni kimeo.
Mwaka 2025 hatuchagui Mzanzibari wala mwanamke.
Kwa hisia na mtazamo wako ni haki kusema hivyo kwa kile ambacho unakiona kinaendelea nchini,kwan hadi sasa kuna watzania zaidi ya % 50 ktik maeneo tofauti tofauti wamejikatia tamaa juu ya uwongozi ulioko madarak hususani ukilinganisha na awamu zilizopitaWakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
Fanya utakavyoona ni sahihiWakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
Hata mimi najua Tanzania hakuna Rais bali kuna Chifu HangayaWakuu toka kifo cha JPM kitokee, moyo wangu umegoma kuamini kuwa nchi imepata rais mwingine. Mpaka sasa naamini rais atapatikana 2025 nifanyeje niamini?
Huyu mama hana hadhi, mimi mwenyewe sina Raiswewe ni Sukuma gang ?