Kaka android ni OS sio jina la simu
.
Na unaposema SB-708
nikama mtu aka kwambia N97
.
lakini ni NOKIA N97
hebu tuambie aina ya simu mana inaweza ikawa haina 3G we ukaona ipo slow kumbe ndo hali halisi
.
sawa kaka nimekuelewa,
jina nyuma imeandikwa Straw berry,na kuhusu 3G nikienda kwenye Mobile network setting ,kuna sehem Inaniambia 3G dongle Enable nikiipa tiki haikubali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.