Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,897
- 40,444
Habarini Wakuu,
Jumamosi ya keshokutwa dogo langu anataka kununua gari na budget yake ni Mil. 7 tu.
Amekuwa akitaka kununua IST muda mreefu ila akaja kubadikika baada ya kupata RAUM nzuri kweli ni namba C.
Kwenu Wataalam/ Wazoefu wa magari mnaweza kumshauri anunue ipi?
Kununua RAUM kwa Million 7 ni sawa au atatapeliwa?
MSAADA PLS,
Jumamosi ya keshokutwa dogo langu anataka kununua gari na budget yake ni Mil. 7 tu.
Amekuwa akitaka kununua IST muda mreefu ila akaja kubadikika baada ya kupata RAUM nzuri kweli ni namba C.
Kwenu Wataalam/ Wazoefu wa magari mnaweza kumshauri anunue ipi?
Kununua RAUM kwa Million 7 ni sawa au atatapeliwa?
MSAADA PLS,