Msaada tafadhali - namna ya kuweka link

Hello Habari?
Kwa simu Hii kitu unaifanya Vip? Mpaka inakuwa Gonga hapa Hebu nipe huo ujuzi! Kwa njia ya simu!

poa mkuu.
kuweka link JF kwa simu ni hivi
Unaandika

(url="www.jamiiforums.com")CLICK HERE(/url)

yani ndani ya quotation hizi " " ndiyo unaandika website unayotaka kuiwekea link then pale nilipoandika CLICK HERE ndiyo unaandika maneno ambayo yajitokeze hapa kwenye post. Pia most important step. Kwenye zile bracket za hizi ( ) zibadilishe ziwe square bracket. Yani hivi [ ]. Zipo bracket nne za hvi ( ) so zote zibadilishe ziwe hivi [ ] .Nimeweka bracket za hvi ( ) ili niweze kuelezea mkuu maana ningeweka za hvi
[ ]
ingetokea link yenyewe halafu usingeweza ona mfano wa link kwa simu inawekwaje.
 
heheeeeee sista hongera kwa elimu ulotupatia, namie najiskia mtu kidogo
 





Gonga hapa
 

Loading....!
 
ndugu wanajamii

naomba kueleweshwa namna ya kuweka link kwa mfano utakuta mtu amekuandikia email, halafu anakueleza kuwa bofya HAPA, Ukibofya unapelekwa moja kwa moja kwenye eneo hilo, mashikoro mageni wajameni naomba mnijuze

ONA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…