Albert Einstein
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 384
- 560
Habari zenu
Nipo hapa ofisini nimekwama kuandaa document muhimu sana
Tafadhali kwa anayejua namna ya kutengeneza Multilevel list ya mtindo huu
Mfano
1. (a) ________________
(b) ________________
(c) i) _____________
ii) _____________
Tafadhali anayejua tusaidiane, yaani kuandika namba ikifuatia na bullet letter in the same line
Ahsanteni
Nipo hapa ofisini nimekwama kuandaa document muhimu sana
Tafadhali kwa anayejua namna ya kutengeneza Multilevel list ya mtindo huu
Mfano
1. (a) ________________
(b) ________________
(c) i) _____________
ii) _____________
Tafadhali anayejua tusaidiane, yaani kuandika namba ikifuatia na bullet letter in the same line
Ahsanteni