Msaada tafadhali - Juma Duni Haji

Sihasa za Tanzania ni za akili sana! Wenyewe wanajua jinsi ya kucheza nazo! Akili tupu
 
Ww unafikirbnyumba za nyas zmeletwa na ccm zmeletwa na uvivu wa baba ako wenzake wakienda shule yy anaenda kutafuta makusu acha afie huko manyasini
ungejiuliza kuwa raslimali za nch hii zimesaidiaje nch usingeyasema hayo.ila kwakua huna elimu ya uraia ndo maana uko hivi.
 
Kweli ukawa wanapaswa kulaaniwa wamemdhulumu babu wa watu pesa zake walizomuahidi baada kukubali kuwa mgombea mwenza.

Ha ha haaaaa babu duni ndembe ndembe kifo cha mende
 
Kweli JF sasa chaka.
Suala la Duni lipo wazi.Sheria haziruhusu mgombea mwenza kutoka chama tofauti na hii ndiyo sababu kubwa ya Duni kuiunga CDM.Ni jambo lililokuwa wazi kwa watu wenye upeo.
 
Kweli JF sasa chaka.
Suala la Duni lipo wazi.Sheria haziruhusu mgombea mwenza kutoka chama tofauti na hii ndiyo sababu kubwa ya Duni kuiunga CDM.Ni jambo lililokuwa wazi kwa watu wenye upeo.
Naomba clip mkuu
 
Juma Duni Haji alishavuta hela yake na amerudi kwenye chama chake. Kule ilikuwa biashara tu
Iwe alivuta hela au la hilo sio muhimu.Muhimu ni kuwa Juma Duni kwenye magazeti ya leo amerudi kwenye chama chake cha cuf. Kuna ajabu gani nadhani ajabu ingekuwepo kama angejiunga ccm.Huko Lumumba tuambieni alivuta kiasi gani na toka kwa nani.
 
Iwe alivuta hela au la hilo sio muhimu.Muhimu ni kuwa Juma Duni kwenye magazeti ya leo amerudi kwenye chama chake cha cuf. Kuna ajabu gani nadhani ajabu ingekuwepo kama angejiunga ccm.Huko Lumumba tuambieni alivuta kiasi gani na toka kwa nani.
Tatizo chadema siyo chama cha siasa ni chama cha waigizaji na wapiga deal
 
Hio clip ninayo ila nashindwa kuiattach hapa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…