Kama ni mara yako ya kwanza kufika Mwanza usikose kufika BUJORA SUKUMA MUSEUM pia karibu jengo la Jiji la Mwanza uone kwenye jengo hili kwa miaka mitatu iliyopita zimepotea zaidi ya bilioni 40 na viongozi waandamizi wa nyakati hizo leo wakapandishwa vyeo