Richolic
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 578
- 239
The worst thing is that viongozi wadogo wanaiga hizi stunts za kina Ndugai zinawapa more pressMwenyewe nmevuta picha ya yule Mzee nikamuhurumia sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
The worst thing is that viongozi wadogo wanaiga hizi stunts za kina Ndugai zinawapa more pressMwenyewe nmevuta picha ya yule Mzee nikamuhurumia sana!
Sasa udhaifu wa bunge ameupimaje kama hajatumia ripoti za ofisi?Maoni aliyoyatoa CAG sidhani kama yqnatokana na ripoti iliyoandaliwa na ofisi yake. Kama ipo kwenye ripoti atapona, vinginevyo Ndugai atamning'iniza.
Mnyika alim attack kikwete as individual sio mhimili.serikali sio Rais,Prof Assad ame attack bunge Kama mhimili.Kwahiyo Kuna tofauti hapoNafikiri tukijua dhamana aliyonayo CAG kikatiba pamoja na majukumu yanayomzunguka itatusaidia sana siku za usoni kufanya rejea.
Nauliza swali hili baada ya kukumbuka kuwa wakati fulani katika bunge la mama Makinda mbunge wa ubungo mh JJ Mmyika alidai bungeni kuwa Rais Kikwete ni dhaifu ( ipo tofauti kati ya Rais Kikwete na mh Kikwete). Sikumbuki Mmyika alichukuliwa hatua gani ila ninachofahamu ni kuwa mbunge ana kinga azungumzapo akiwa bungeni.
Kadhalika sikumbuki kama mstaafu Kikwete alitunisha msuli kuwa kadhalilishwa.
Kwa kuwa tupo hapa jamvini kujifunza pia, naomba nijibiwe swali langu tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Unajuaga kuna mtu mleNgoja wanasheria waje ila nimesikia spika Sasa hivi anahojiwa BBC aisee sikuwahi kujua ndugai hana busara Na mfinyu wa akili kiasi hicho!
Mkuu, 'Msomi mbobezi kwenye fani tena Prop hawezi kuropoka bila ya kuwa na data kamili.Mwenyewe nmevuta picha ya yule Mzee nikamuhurumia sana!
Hana uwezo huoMaoni aliyoyatoa CAG sidhani kama yqnatokana na ripoti iliyoandaliwa na ofisi yake. Kama ipo kwenye ripoti atapona, vinginevyo Ndugai atamning'iniza.
Na kiki zibaki na nani?Spika angeweza kumuita chemba mzee mwenzie wakayamaliza kiutu uzima bila tension kama hii ya sasa.
Hapa naona bifu kama la bosi wa Takukuru na DPP enzi za JK kurushiana lawama huyu hafanyi kazi yake kwa kesi tunazo mpelekea ndio maana mafisadi hawachukuliwi hatua kwa wakati.
Asee nilikuwa nagombana na wife hapa umenichekesha sana!Huyu Mzee akienda Dodoma ajitahidi asikaee karibu na andunje ndugai huwa anatembea na virungu au kigongo atamgonga nacho ngoooo kichwani RIP
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisema Rais Kikwete tayari hiyo ni taasisi!Mnyika alim attack kikwete as individual sio mhimili.serikali sio Rais,Prof Assad ame attack bunge Kama mhimili.Kwahiyo Kuna tofauti hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna mihimili mitatu tu Acha uzwazwaCAG ni 'mhimili unaojitegemea'.
Unatumia sheria gani mkuuCAG hapaswi kuhojiwa kwa makosa atakayoyatenda ktk kazi zake lkn siyo kwa makosa binafsi.
Kama alivyofanya hapa..View attachment VID-20190107-WA0048.mp4Huyu Mzee akienda Dodoma ajitahidi asikaee karibu na andunje ndugai huwa anatembea na virungu au kigongo atamgonga nacho ngoooo kichwani RIP
Sent using Jamii Forums mobile app