robbertisaah
Member
- Dec 13, 2019
- 46
- 58
Tablet yangu Ni LINX inazngua ghafla nnawasha inaishia kusema startup.nsh nakudai shell command nnajarbu ku reset na kunarbu ku boot nnakwama nnaomba msaada.
Inaitwa LINXUngetaja Aina ya tablet Pia.
Ni window Ila iliroga ndo nkakuta inaishia hapo tu
Hapo inanipeleka kweny setting za tablet but nako holaa
Hapana mkuu nliiiacha tu nkapak ndan had Leo sijui ipo au waliibaUlifanikisha?
Hapana mkuu nliiiacha tu nkapak ndan had Leo sijui kama ipo au waliibaUlifanikisha?