twende sawa...
assume mchele wote jumla ni kg X. SO,
jamaa alikula robo ya mchele wote (x/4)
jamaa akauza theluthi ya mchele wote (x/3)
jamaa akabakiwa na kg 60 kwenye stock, therefore,
ukichukua jumla ya mchele wote (X) utoe aliokula (x/4) na aliouza (x/3) unabakiwa na 60kg
X-(x/4 + x/3)=60
x-7/12x=60
12x-7x=720
5x=720
x=144.
sasa alikula robo ya x (144)
1/4*144=36kg
aliuza theluthi ya x (144)
1/3*144=48.
alibakiwa na 60kg.
proof.
144-36-48=60
144-84=60
60=60 hence prooved.