Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 24,637
- 43,940
Nina Sumsung Galaxy S3 mpya inagoma Connection ya Internet kila nikijaribu kuiseti inaniambia no internet connection.Bundle kwenye line zipo za kutosha sasa sielewi tatizo ni nini.
Nina Sumsung Galaxy S3 mpya inagoma Connection ya Internet kila nikijaribu kuiseti inaniambia no internet connection.Bundle kwenye line zipo za kutosha sasa sielewi tatizo ni nini.
Mimi ninayo pia ila naona kama una Vodacom hakika ni wasumbufu sana. Unaungwanisha internet all of the sudden inakata unatakiwa tena uende vodashop. Huu ni upotevu wa muda kwa wateja. Tupeni ufundi wa kujiunganisha wenyewe bila kwenda vodashop kila mara. Asanteni wakuu.
unatumia mtandao gani?
hujaeleza vizuri kama ndo mara ya kwanza unaiconnect so setup ndo inagoma au ulishaconnect lakini imekata. Kama ndo mara ya kwanza tafuta mtu anayejua hizo settings au nenda ofisi za kampuni ya simu
Kama unatumia line ya tigo nenda kwenye SETTINGS, WIRELESS&NETWORKS-MOBILE NETWORKS, chagua. Access Point Name, sehemu ya Name andika tigoweb na kwenye APN andika tigoweb baada ya hapo save
Ok,ngoja nijaribu Mkuu.
Kama alivyosema Bussy ukiona hizo setting jaribu kuangalia kwenye mobile data labda iko off:
Mkuu mimi nili register Vodacom galaxy s3 na kila wakati utashangaa ikifika weekend mtandao unakata kabisa inabidi tena nirudi wakaweke!!! Naona kuna kamchezo. Nataka niwaanzishie thread kabisa maana hawa wanatuibia. Si wanajua kifurushi kitaisha muda na watauza kwa wengine. Vijana wameajiriwa juzi na majumba salasala unafikiri wanatoa wapi hela. Kuna namna mkuu!!Naona tatizo siyo simu labda huyo ndugu haja register hiyo net work!.mbona samsung products hazisumbui hata kidogo ktk internet.
Kama unatumia line ya tigo nenda kwenye SETTINGS, WIRELESS&NETWORKS-MOBILE NETWORKS, chagua. Access Point Name, sehemu ya Name andika tigoweb na kwenye APN andika tigoweb baada ya hapo save
Na kwa Voda mkuu tuelimishe tuache kwenda vodashop kila mara. Wanasumbua sana bora tujue jinsi ya kutata tatizo.
Kama unatumia line ya Vodacom kwenye Name andika voda na kwenye APN andika internet