Msaada: Soko la mbaazi

Msaada: Soko la mbaazi

Benjamini Netanyahu

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
102,676
Reaction score
126,840
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.

Asanteni sana.
 
Hazina soko kwa sasa, nakushauri usilime mwaka huu tafuta zao lingine..
 
Sina hamu Na mbaazi kilichonifanya mwaka Huu Mungu Pekee anayejua Hakika huu Mwaka tunausoma number haswaaa...

mkuu sikushauri ulime mbaazi achana nazo
 
Poleni sana ndugu zangu! Ila msikate tamaa! Serikali kupitia wizara ya Kilimo/ viwanda Na biashara wanapaswa kuwa Na utaratibu wa kuwatafutia wakulima masoko ya nje ya nchi kisha wawaunganishe ili mpate kuuza Kwa urahisi, kwani ile sera ya Kilimo kwanza imesha tekelezeka Kwa kiasi cha kutosha? Ila inategemea maana naona swala la stakabadhi ghalani limeleta mtihani mkubwa Kwa wakulima! Na vizuizi kibao
 
kuna rafiki yangu anafanya hii biashara anachukulia mikoa ya kusini na kuuza hapa dar, kama jana anasema kauza kwa 1,200 kwa kilo sikuongea nae sana sbb sio area yangu
 
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.

Asanteni sana.
Kama unazo tuwasiliane 0655509828
 
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.

Asanteni sana.
Kama unazo tuawsiliane 0655509828
 
Wakulima tumem-miss JK, hasa mwaka wake wa mwisho. Mwaka jana kilo ya mbaazi ilfika sh 2,500 shambani. Mwaka huu ni sh 700-900 vijijini. Tumebaki kuumia kwenye vibanda vyetu,hakuna sehemu ya ventilation
 
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.

Asanteni sana.
Uko Manyara sehemu gani?Unauzaje kwa kg?
 
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.

Asanteni sana.
mbaazi ya masasi inanunuliwa sh.1200 kwa kg sasa..ungejitahidi uilete dar kwa wahindi pale bandarini..niche
cpm nikupe contacts
 
Back
Top Bottom