DarkidMtoto
New Member
- Aug 7, 2020
- 2
- 1
Habari zenu Wana JF,
Natumaini ni wazima, naomba msaada jamani, nina asali lita 8 nmetoa Tabora. Lita 5 nimeijaza kwenye chupa zile ndogo za konyagi ( 200Ml) imebaki lita 3, sasa naona nimekosa njia sahihi ya kuziuza maana sina duka.
Na nilitegemea niuze online lakini mambo naona hayajakaa poa, naomba msaada wenu wa ushauri tu ni vipi naweza kuziuza hizi asali kwa reja reja.
Ahsanteni.
Natumaini ni wazima, naomba msaada jamani, nina asali lita 8 nmetoa Tabora. Lita 5 nimeijaza kwenye chupa zile ndogo za konyagi ( 200Ml) imebaki lita 3, sasa naona nimekosa njia sahihi ya kuziuza maana sina duka.
Na nilitegemea niuze online lakini mambo naona hayajakaa poa, naomba msaada wenu wa ushauri tu ni vipi naweza kuziuza hizi asali kwa reja reja.
Ahsanteni.