Gazaniga
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,051
- 360
Habarini Wadau,
Naomba nijuzwe ni software ipi ya muhimu sana na inayoweza kutumiwa na bank zote au karibu zote katika process nzima ya kukeep data,kufanya transactions n.k
Kuna uwezekano mkubwa sana nikaajiriwa bank na nilisoma IT na napenda kuwork katika area hiyohiyo,nipo tayari kuisomea hiyo software na kujua namna ya kuitumia.
Nitashukuru sana kwa msaada.
Naomba nijuzwe ni software ipi ya muhimu sana na inayoweza kutumiwa na bank zote au karibu zote katika process nzima ya kukeep data,kufanya transactions n.k
Kuna uwezekano mkubwa sana nikaajiriwa bank na nilisoma IT na napenda kuwork katika area hiyohiyo,nipo tayari kuisomea hiyo software na kujua namna ya kuitumia.
Nitashukuru sana kwa msaada.