Msaada: Software au application gani nitumie kuangalia tatizo kwenye electronic circuit

Msaada: Software au application gani nitumie kuangalia tatizo kwenye electronic circuit

Samvurah

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
545
Reaction score
547
Dear..Great thinker wa jukwaa hili heshima,kwenu..Naomba msaada wa ni software gani nina weza kutumia kwenye computer, nikaweza kusearch tatizo lilipo kwenye electronic circuit bila kutumia multmeter..mfano labda kutafuta ni diode ,resistor,capacitor,transistor au IC gani yenye tatizo...aksante
 
Dear..Great thinker wa jukwaa hili heshima,kwenu..Naomba msaada wa ni software gani nina weza kutumia kwenye computer, nikaweza kusearch tatizo lilipo kwenye electronic circuit bila kutumia multmeter..mfano labda kutafuta ni diode ,resistor,capacitor,transistor au IC gani yenye tatizo...aksante

Sio rahisi kutumia computer ya kawaida kuangalia tatizo kwenye circuit, Kuna complex computer systems zinatumika sana na factory kubwa zinazotengeneza electronics devices, na maranyingi huwa zinafanya inspection kwenye printed PCB ili kuangalia shortcircuits na matatizo mengine, na kuhusu component zinazopachikwa kunakuwa na panel ya watu kadhaa na kila mtu atapewa kazi ya kukagua kifaa/vifaa kadhaa kama vinafanya kazi iliyokusudiwa na mwisho kabisa ndo watafanya general test ya vifaa vyote.

Kwa kuongezea unaweza kufanya troubleshooting kwenye circuit kwa kutumia computer yako ya kawaida endapo tu manufacturer alikipa uwezo hicho kifaa chako kufanyiwa hivyo vinginevyo labda ufanye ubunifu wako mpya, mfano mdogo ni battery za laptop kuna laptop zinakuja software za ku monitor battery life, unaweza uka run kwenye BIOS au kawaida na ikakupa majibu kama battery inahitaji kubadilishwa ama la.
 
Sio rahisi kutumia computer ya kawaida kuangalia tatizo kwenye circuit, Kuna complex computer systems zinatumika sana na factory kubwa zinazotengeneza electronics devices, na maranyingi huwa zinafanya inspection kwenye printed PCB ili kuangalia shortcircuits na matatizo mengine, na kuhusu component zinazopachikwa kunakuwa na panel ya watu kadhaa na kila mtu atapewa kazi ya kukagua kifaa/vifaa kadhaa kama vinafanya kazi iliyokusudiwa na mwisho kabisa ndo watafanya general test ya vifaa vyote.

Kwa kuongezea unaweza kufanya troubleshooting kwenye circuit kwa kutumia computer yako ya kawaida endapo tu manufacturer alikipa uwezo hicho kifaa chako kufanyiwa hivyo vinginevyo labda ufanye ubunifu wako mpya, mfano mdogo ni battery za laptop kuna laptop zinakuja software za monitor battery life, unaweza uka run kwenye BIOS au kawaida na ikakupa majibu kama battery inahitaji kubadilishwa ama la.
Aksante sana naomba hiyo namna ku troubleshoutmachine kwa kutumia PC machine zangu zote zzinaoption ya kkuunganisha na PC
 
Thank you, kwa maelezo yako mazuri,nizidi kuba namna ya ku troubleshout electronic machine yenye Printed PCB board na ina sehemu na kuunganisha na computer,kama kunasoftware ya kuweka kwanza kwenye PC au nkipi cha zaid,...aksante sana
 
Mimi kwenye ili nimeangaika sana ni technician wa electronics dvace sasa miaka 4 sjawai kupta softwere hii na kwasasa naitaji machine ya kureplace chip za gpu mwenye liki ya kunipatia hii anilinki
 
Back
Top Bottom