Haipokei kivip? Hdmi haungii au aje fafanua zaidiWakuu Happy Good Friday. Nimenunua smart TV na Kama mjuavyo ili tv iwe na clear pictures ni vizuri kuunga HD wire. Lakini Cha ajabu hiyo tv yangu haikubali kupokea huo waya wa HD.
Tatizo laweza kuwa nini?
Fafanua smart tv yako haina port ya hdmi ,au haisomi hdmi?je kuna port za AvWakuu Happy Good Friday. Nimenunua smart TV na Kama mjuavyo ili tv iwe na clear pictures ni vizuri kuunga HD wire. Lakini Cha ajabu hiyo tv yangu haikubali kupokea huo waya wa HD.
Tatizo laweza kuwa nini?
Ndiyo mkuuUna maanisha HDMI cable?
Unaingia vizuri tu lakini picha hazibadiliki zinabaki vilevileHaipokei kivip? Hdmi haungii au aje fafanua zaidi
Haisomi HDMI cable. Port za av zipo.Fafanua smart tv yako haina port ya hdmi ,au haisomi hdmi?je kuna port za Av
Ukishaingia inabidi ubadili source ya input kwenye tv kwenda kweny hdmi mfano kama iko kwenye avi badili iwe hdmiUnaingia vizuri tu lakini picha hazibadiliki zinabaki vilevile
Unaonekana hujui chochote kuhusu connection yaani ukishacomect nenda kwenye source au input inategemea na aina ya remote then chagua HDMIWakuu Happy Good Friday. Nimenunua smart TV na Kama mjuavyo ili tv iwe na clear pictures ni vizuri kuunga HD wire. Lakini Cha ajabu hiyo tv yangu haikubali kupokea huo waya wa HD.
Tatizo laweza kuwa nini?
Nimefanya hivo lkn inakataa kurespondUnaonekana hujui chochote kuhusu connection yaani ukishacomect nenda kwenye source au input inategemea na aina ya remote then chagua HDMI