Msaada: Sina mkataba wa kazi lakini naambiwa natakiwa kulipa kodi

Darlis2016

Member
Nov 3, 2016
81
25
Mimi nafanya kazi kama kibarua katika kampuni fulani sina mkataba wowote wa ajira cha kushangaza leo naambiwa nitaanza kukatwa kodi,,, je hii ni sawa, naomba kuelimishwa hapa.
 
Mwajiri amekuwa na ujanja ujanja mwingi na hata malipo ya kazi anayapunguza anavotaka nina zaidi ya mwaka sasa lakini hatoi mkataba wa ajira, je kwa hili nitamwaminije kama hiyo kodi itafika TRA?
 
Mwajiri amekuwa na ujanja ujanja mwingi na hata malipo ya kazi anayapunguza anavotaka nina zaidi ya mwaka sasa lakini hatoi mkataba wa ajira, je kwa hili nitamwaminije kama hiyo kodi itafika TRA?
Unaruhusiwa kufika pale TRA Ku confirm kama kodi yako inapelekwa but at your own risk maana anaweza kukufukuza kazi
 
Hiyo ni kweli maana hata tunapoongolea issue ya mikataba vitisho ni kufukuzwa kazi, sasa kodi yenye anapanga mwenyewe kwa kusema kwa kila mtu atakatwa 20% ya pesa atakayopata
 
Peleka malalamiko yako kwa afisa was ajira (labor officer) was wilaya uliyopo wao wana mamlaka ya kusikiliza malalamiko ya waajiriwa. Ukihitaji msaada zaidi nichek
 
Pole sana...

Omba mkataba wa kazi kwanza ndiyo uanze kukatwa kodi.

Hapo muajiri anakwepa majukumu yake na kutaka kuzifukia haki zako...


Cc: mahondaw
 
kodi inatakiwa iwe asilimia 10 tu labda ni kwa policy ya kampuni tofauti du
Hatujawahi kuambiwa kitu kama hiki, malipo ya wages zetu yanacheleweshwa sana, bosi Kawa mbabe sana pia kwa vile ni kazi za project inatakiwa tunavomaliza wave moja tulipwe ila zinalimbikizwa hadi hata tano hadi kumi.
 
Hiyo ni kweli maana hata tunapoongolea issue ya mikataba vitisho ni kufukuzwa kazi, sasa kodi yenye anapanga mwenyewe kwa kusema kwa kila mtu atakatwa 20% ya pesa atakayopata
Mm siyo mwanasheria..lkn hyo aslmia 20% ni mwongo. Na mifuko ya jamii unakatwa % ngap?
 
Hatujawahi kuambiwa kitu kama hiki, malipo ya wages zetu yanacheleweshwa sana, bosi Kawa mbabe sana pia kwa vile ni kazi za project inatakiwa tunavomaliza wave moja tulipwe ila zinalimbikizwa hadi hata tano hadi kumi.
watu wa projects tunapata tabu sana ila ndivyo inavyotakiwa kuwa Asilimia kumi tu ya makato ya kodi na hapo mtakuja kuambiwa fedha za nssf asilimia kumi
 
Sisi hatuna Bima ya afya, hatuna Nssf, wala chochote Zaid ya kupata wages tu na sasa wages zetu wanachelewesha sana halafu wanataka tena kutuambia tukatwe kodi wakati wages wakitulipa kwa wakati hata 150,000/=haifiki
 
Back
Top Bottom