Msaada simu YANGU YA Tecnop W4 haiingizi chaji

Msaada simu YANGU YA Tecnop W4 haiingizi chaji

thomaskitomari

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
472
Reaction score
204
Habari za muda huu wadau,

Nilikuwa natumia Tecno W4 kwa mUda mrefu kidogo, lakini ghafla ilianza kupunguza muda wa kukaa na chaji na mwisho kabisa ikawa haichaji.

Inawasha kitaa chekundu kwa ishara kama inachaji lakini haiingizi chaji, hata ikiingiza itaishia asilimia 3 tu,
Nimebadilisha system chaji lakini hamna mafanikio yeyote.

NAOMBENI MSAADA WA CHAKUFANYA KUTATUA TATIZO ILI IWEZE KUWAKA
 
Back
Top Bottom