Wataalamu wa Android naombeni msaada simu yangu samsung s3 kuna baadhi ya applications hazifunguki huu mwezi sasa. Haifungui Jamii forums, na mimi nisipoingia jf siku moja tu napata homa. Hata Play store yenyewe haifunguki labda ninge uninstal na ku instal upya.
Ni original BashiriOnline. version 4.1.2
Ni original BashiriOnline. version 4.1.2
Nenda kwenye Setting, then Shuka About Phone,bofya About Phone, kisha bofya Software Update, Lazima itaupdate Android 4.2.3 au 4.2.4 Jerry Ben. Inatakiwa uwe na Bandle km 600Mb .....
angalia Mobile network setting, hakikisha umecheck ki-mduara kinachosema Data roaming....Wataalamu wa Android naombeni msaada simu yangu samsung s3 kuna baadhi ya applications hazifunguki huu mwezi sasa. Haifungui Jamii forums, na mimi nisipoingia jf siku moja tu napata homa. Hata Play store yenyewe haifunguki labda ninge uninstal na ku instal upya.
Bado unapata tatizo hili?Pole sana mkuu tumefanana mi nina s4 v4.2.2 nilikuwa natumia jf old version ikawa inakataa kuupdate new version ikabidi niiuninstal ili kuinstal new version lkn cha ajab niidownload app kuinstal inagoma kabisa sasa inanibidi kuvist jf kupitia browser za kawaida na sio app hivyo basi inaonekana samsung km vile zina matatizo
Mkuu mie bado tatizo liko palepale sijui kwa nini labda hii versionBado unapata tatizo hili?
Version hii isingegoma kwako tu, kuna tatizo sehemu. Kama upo Dar, Mwanza au Arusha tunaweza kutuma watu wetu wakusaidieMkuu mie bado tatizo liko palepale sijui kwa nini labda hii version
Tatizo niko mkoani nikipata kuja town nitafanya hivyoNenda kwa wakala wa samsung popote watakutatulia tatizo lako. Mimi nilienda mlimani city wamenisaidia.
Mkuu nipe no zako za simu nikupigie zangu ni 0767992250,0784992250 na 0788400184Kishombo nipigie asubuhi nikupe msaada tafadhali