Deodatus Dickson
Member
- Feb 6, 2016
- 15
- 4
Simu angu aina ya samsung galaxy a20 muda mwingi inaandika emergence call kwa line zote mbili kuna muda network inashika na kuna muda network inakata.
Nimewapelekea mafundi kila fundi anasema hawezi kutatua hilo tatizo nilikua nahitaji msaada kuhusiana na hilo wadau
Nimewapelekea mafundi kila fundi anasema hawezi kutatua hilo tatizo nilikua nahitaji msaada kuhusiana na hilo wadau