msaada:Simu yangu inaniandikia Invalid Number

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,539
Reaction score
4,854
habari zenu wadau.
nahitaji msaada.
hivi simu ina maana gani pale nikipiga na yenyewe kuniandikia INVALID NUMBER ?
Nitashukuru sana.
 
habari zenu wadau.
nahitaji msaada.
hivi simu ina maana gani pale nikipiga na yenyewe kuniandikia INVALID NUMBER ?
Nitashukuru sana.
hilo ni tatizo la settings kwenye simu yako km ingekuwa invalid sim tungesema kuna tatizo la imei ama network locks (hiyo haijazimwa na TCRA)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…