Idd Ninga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 5,539 Reaction score 4,854 Aug 9, 2016 #1 habari zenu wadau. nahitaji msaada. hivi simu ina maana gani pale nikipiga na yenyewe kuniandikia INVALID NUMBER ? Nitashukuru sana.
habari zenu wadau. nahitaji msaada. hivi simu ina maana gani pale nikipiga na yenyewe kuniandikia INVALID NUMBER ? Nitashukuru sana.
mukulupapaa JF-Expert Member Joined Dec 2, 2014 Posts 2,930 Reaction score 1,734 Aug 9, 2016 #2 Tcra washafanya yao
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,229 Reaction score 44,239 Aug 9, 2016 #3 hio namba inayosema invalid ukianza na +255 pia inasema invalid?
Idd Ninga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 5,539 Reaction score 4,854 Aug 9, 2016 Thread starter #4 Chief-Mkwawa said: hio namba inayosema invalid ukianza na +255 pia inasema invalid? Click to expand... hapana. nikianza na sifuri.
Chief-Mkwawa said: hio namba inayosema invalid ukianza na +255 pia inasema invalid? Click to expand... hapana. nikianza na sifuri.
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,229 Reaction score 44,239 Aug 9, 2016 #5 Idd Ninga said: hapana. nikianza na sifuri. Click to expand... inamaana ukianza na +255 haifanyi sio? hapo hapo unapopigia nenda call setting utakuta kuna setting ya nchi badili iwe tanzania
Idd Ninga said: hapana. nikianza na sifuri. Click to expand... inamaana ukianza na +255 haifanyi sio? hapo hapo unapopigia nenda call setting utakuta kuna setting ya nchi badili iwe tanzania
B Benny Haraba JF-Expert Member Joined Dec 7, 2012 Posts 15,670 Reaction score 14,645 Aug 10, 2016 #6 Idd Ninga said: habari zenu wadau. nahitaji msaada. hivi simu ina maana gani pale nikipiga na yenyewe kuniandikia INVALID NUMBER ? Nitashukuru sana. Click to expand... hilo ni tatizo la settings kwenye simu yako km ingekuwa invalid sim tungesema kuna tatizo la imei ama network locks (hiyo haijazimwa na TCRA)
Idd Ninga said: habari zenu wadau. nahitaji msaada. hivi simu ina maana gani pale nikipiga na yenyewe kuniandikia INVALID NUMBER ? Nitashukuru sana. Click to expand... hilo ni tatizo la settings kwenye simu yako km ingekuwa invalid sim tungesema kuna tatizo la imei ama network locks (hiyo haijazimwa na TCRA)