Hahahaha labda imebaleheMimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.
Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Weka esset mzee mwisho was matatizoAntivirus hipi mkuu nisaidie make nimeinstall lookout lakini bado tatizo
Hawawezi toka hata akireset ..kumbuka hao virus wanakaa kama system apps..Reset simu kwanza,pili download Avast Ni antivirus nzuri,tatu download apps zako muhimu tu,sio kila app una download.
Unatumia simu gani? Solution ya uhakaika ni kuweka os mpya...Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.
Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Simu yako ni aina ganiNimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.
Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Mafundi wanazo virus removal tools ama badilisha os AKA Flash simu yakoNimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.
Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Teh teh teh tehHahahaha labda imebalehe