cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Wadau nina simu yangu aina ya ZTE nilitumiwa na bro toka Sweden, sasa jana usiku niliiweka kwenye chaji ikiwa ON, kwa bahati mbaya nimeamka asubuhi nikaikuta imezima kabisa, nikajaribu kuiwasha imekataa mpaka hivi sasa, hivyo kwa mwenye uelewa juu ya hili tatizo naomba anifahamishe jaman ili hata ninapoipeleka kwa fundi niwe na picha kabisa kuwa tatizo ni kitu fulani, asubuhi nilipoichukua ilikuwa ya moto kupita kiasi! Chief Mkwawa, msaada tafadhali