ivunya
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 2,290
- 2,230
Hii Leo ni Siku ya pili bar za network zimepotea ghafla , nashindwa kuelewa tatizo ni nini kila laini ninayo weka bar za network zinatokea kuashiria kuwa lain ipo kwenye simu ghafla zinatoweka ndo basi tena hazirudi naandikiwa NO SERVICE-HALOTEL. Nikawa nawaza Wenda imefungia lakin nikitumia Huduma ya WIFI katika simu hiyo hiyo inaendelea kufanya kazi kuingia katika INTERNET. Hata hii post nimeandika katika simu hiyo hiyo kutumia WiFi. nikiweka lain yeyote ile ina detect lakin bar za network zinatoweka. Nilikuwa naomba msaada tatizo ni kitu gani? naipenda simu yangu