Msaada simu ya kununua!

Msaada simu ya kununua!

Ila hii Lumia 720 wanaisifia sana ktk chaji, kwani hii HTC kwenye chaji ipoje mkuu?

mkuu htc 8x ilitoka na lumia 920 pamoja kiwa na battery ya 2000mah na htc 1800mah. hizi ni simu zinazofanana processor 1.5ghz dualcore krait na ram 1gb.

nokia alipokuja kutoa lumia 720 alieka processor 1ghz dualcore krait na ram 512mb (ina maaana kapunguza specification) lakini akaacha battery ile ile. ndio maaana 720 inakaa sana na chaji.

jinsi processor inavyokuwa ndogo na ram ndo jinsi inavyotumia energy ndogo na ndo jinsi inavyokaa sana na chaji
 
mkuu htc 8x ilitoka na lumia 920 pamoja kiwa na battery ya 2000mah na htc 1800mah. hizi ni simu zinazofanana processor 1.5ghz dualcore krait na ram 1gb.

nokia alipokuja kutoa lumia 720 alieka processor 1ghz dualcore krait na ram 512mb (ina maaana kapunguza specification) lakini akaacha battery ile ile. ndio maaana 720 inakaa sana na chaji.

jinsi processor inavyokuwa ndogo na ram ndo jinsi inavyotumia energy ndogo na ndo jinsi inavyokaa sana na chaji

Asante sana.
 
HTC ni ya wachina lakini nadhani kuna branch USA.hata iPhone Nokia Motorola no zinatengenezwa china na kampuni inaitwa foxconn.
 
Alumni 760

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hi wadau wote JF! naomba ushauri ni simu gani nzuri naweza nunu dukani ambayo ina spidi kubwa ya intanet , camera nzuri na inayoweza kuwa software programes nyingi na inatunza chaji. zenye bei ya wastani lakini ikiwa bei kubwa si mbaya! Nimeangalia kwa wauzaji wengi naona zinanichanganya simu aina moja bei tofauti tofauti!

Simu zote za akili ni matatizo katika kukaa na charge. Kiukweli kwa laki sita ukipata galaxy s 3 utaenjoy.
 
Mkuu umenielewa tofauti, yaani napendekeza anunue HTC hakika hatajutia! hicho kitu ni balaa!

nb:
make sure is made in USA! ukiwasha tu inatkuambia made in USA!

Inatakiwa iseme: designed and made in China!!! Sio USA
 
Hi wadau wote JF! naomba ushauri ni simu gani nzuri naweza nunu dukani ambayo ina spidi kubwa ya intanet , camera nzuri na inayoweza kuwa software programes nyingi na inatunza chaji. zenye bei ya wastani lakini ikiwa bei kubwa si mbaya! Nimeangalia kwa wauzaji wengi naona zinanichanganya simu aina moja bei tofauti tofauti!
Minafikiri unge taja kiasi cha fedha wana jF watakupa ushauri mzuri zaidi.
 
HTC ni ya wachina lakini nadhani kuna branch USA.hata iPhone Nokia Motorola no zinatengenezwa china na kampuni inaitwa foxconn.

iphone mwenyewe sababu ya kutengenezea china ni kua us ni gharama kubwa sasa htc ata afford vipi? na hali yake mbaya ile?
 
kwa h miluz aliyopgiwa lazma apotee njia.me npo aje na fidbk
 
Back
Top Bottom