Huo mshahara dogoMhh tecno sikushauri mkuu ongeza laki moja upate samsung toleo jipya samsung galaxy grand pro iko bomba vibaya mnoo android nougat na inawezekan kupat oreo android version inauzwa laki tatu na hamsini mpyaaaaaa au ukiona vipi tafuta hat j5 prime
Online kufanya nini. Techno ndyo inaendana na pesa yakoNina 200$ je naweza kupata simu gani online, vigezo muhimu battery, camera, and am a gamer too! Isiwe window au iPhone, Android only
Kuna mtu ameniambia nitafute a phone around 200$ online especially Amazon aninunulie, by the way mimi ni masikini sana hata tecno siwezi kuafford, thanxOnline kufanya nini. Techno ndyo inaendana na pesa yako
J5 prime bado anapelea mbali sana maana mpya kabisa akifurukuta inagot 430KMhh tecno sikushauri mkuu ongeza laki moja upate samsung toleo jipya samsung galaxy grand pro iko bomba vibaya mnoo android nougat na inawezekan kupat oreo android version inauzwa laki tatu na hamsini mpyaaaaaa au ukiona vipi tafuta hat j5 prime
Daah!Online kufanya nini. Techno ndyo inaendana na pesa yako
Kwani ndugu dola 200 ni sawa na sh ngapi, ama ww umeielewaje hiyo 200$J5 prime bado anapelea mbali sana maana mpya kabisa akifurukuta inagot 430K
Nahitaka bei gani?Ongeza hela nikuuzie Samsung Note 8
Lete M2.5Nahitaka bei gani?
Haha anaibeza 200$ approximately ni 450k in pesa za madafu wakati unapata simu kali aisee za xiaomi redmi A1,Note 5 pro(snapdragon 625 mpka 630,camera dual ya nyuma,battery life a whole day with data on n.k) ambayo ina compete na samsung tena hizo j7 na j5 ni upuuzi asee kwa xiaomi labda anahisi ni laki mbili sijui.Kwani ndugu dola 200 ni sawa na sh ngapi, ama ww umeielewaje hiyo 200$
Skuizi humu ndani kuna threads za kijinga sana wallah....Nina 200$ je naweza kupata simu gani online, vigezo muhimu battery, camera, and am a gamer too! Isiwe window au iPhone, Android only
Xiaom zitakufaaNina 200$ je naweza kupata simu gani online, vigezo muhimu battery, camera, and am a gamer too! Isiwe window au iPhone, Android only