Pablo 119
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 1,520
- 1,969
Habari zenu wana jukwaa please naombeni msaada wenu Simu yangu ni samsung note 3 inabagua kusoma sim card mwanzo nilipochukua ilikua inasoma halotel na voda ila tigo na airtel zilikua zinagoma baadae nika restore nikaweka line ya airtel ikasoma sasa hivi line zingine zina goma kusoma mwenye kujua tatizo hili anijuze