Msaada sielewi hii hali yangu

Msaada sielewi hii hali yangu

mabwiku

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
447
Reaction score
392
Habari wanajanvi,kuna hali naiona kama sio ya kawaida kwangu,kwenye mikono napata vipele kama vile vya baridi alafu vinakua kama vinatoa vidude vyeupe,nimeenda hospital kupima magonjwa yote majibu yametoka sina shida nipo sawa,labda inaweza kua ni ugonjwa wa ngozi,, msaada kwa anaeweza kuutambua
20230428_183455.jpg
 
Kanunue dawa za kupaka zenye kuua Fungus na Bacteria kama Gentrisome
 
Kafanyiwe massage ya mwili mzima, pia tumia lotion nzuri ya kiume; pia kula kula matunda pamoja na kunywa maji mengi
 
Back
Top Bottom