Msaada: Shule nzuri ya sekondari-Arusha na Kilimanjaro

Msaada: Shule nzuri ya sekondari-Arusha na Kilimanjaro

umenikumbusha ngoja nimpeleke mwanangu kirinjiko au islamic school
 
Sio kweli mbona kuna zingine wanasoma hadi waislamu na dini zingine pia, cha msingi ni kufuata masharti yaliyowekwa mf Huruma girls seminary ipo jimbo kuu katoliki dodoma
RC kuna seminary za aina mbili

Zile zinazowaandaa vijana kuwa mapadri na masister. Hizi ni kazima uwe muRC

Nyingine ni zile za kawaida zenye malengo ya kuwafunza vijana maadili ya jumla ya jamii hizi ndo huchukua dini zote
 
Back
Top Bottom