advocate kiza
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 259
- 90
Habarini Wakuu, Wakati Ndugu Zetu(Dada, Kaka,majamaa,wadogo Zetu) Wamepokea Matokeo Ya Kidato Cha Nne, Ni Dhahiri Shairi Kwamba Sio Wote Watakao Pata Nafasi Kwa Shule Za Serikali Wapo Watakao Kosa, Nimeanzisha Uzi Huu Kujulishana Shule Binafsi Zenye Kujali Kipato Cha MTanzania,chini Ya Milion Moja Siyo Mbaya Pia Ukiicha Na Mawasiliano Ili Unufaishe Wengine. Ahsanten

