Msaada: Shirika gani la Ndege ni zuri kusafiri nalo toka Dar es Salaam hadi Mwanza

Faana

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
31,908
33,338
Ndugu wanaJF, nina ndugu anahitaji kusafiri kwa moja ya mashirika ya ndege kutoka Dsm kwenda Mwanza hivi karibuni, swali ni kwamba;
  • Shirika gani la ndege lina bei zenye unafuu ikiwa mtu anasafiri na mtoto wa chini ya umri wa miaka 10?
  • Utaratibu wa kupata ticket/booking toka Mikumi Morogoro
Natanguliza shukrani kwa watakaojali na kusaidia katika hili
 
Ngoja waje mkuu, mi napandaga fuso za makebich, nikipanda basi ujue ni lookman ile ya zaman, nahc wazee wa mwanza mnaijua vzr, ukiipanda hakikisha umekula ugali wa kutosha na taulo la kufutia jasho, pili ng'ang'ania seat yako mana likikanyaga hata kisoda lazma uende mpaka kweny carier kwanza ukirud wazee washacover gap inakubd na wewe uwasubirie ufanye timing. Tatu ukishafka mwanza tatfa kituo cha afya kufanya realocation of organ, mana kuanzia tumbo, utumbo, figo, ini na nyongo yake vitakua vimehamia kooni.
 
Kampuni yenye gharama nafuu ni air tanzania. Booking ya ticket fanya online mkuu. Nafikiri itapendeza.
 
 
ATC naona wanajitahidi siku hizi...hata bei zao zaridhisha.

Fastjet is the cheapest option has ukikata mapema...kuna wakati hawakuwa realible ila naona siku hizi wanajitahidi
 
KWANI TUNA MANGAPI? LIPO MOJA TU LA SERIKALI NA WALE WENGINE WANAOHAIRISHA SAFARI BILA TAARIFA! UKIAMUA KUSAFIRI NA NDEGE UJIANDAE KISAIKOLOJIA UKIWA UWANJA WA NDEGE LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA.NDEGE WANAWEZA WAKAKUAMBIA IMEZUIWA CANADA NA WANAOTUDAI AU NYINGINE WAKAKUAMIA BADO IPO ZANZIBAR IMESHINDWA KUPAA NA WATAKUPA SODA URUDI NYUMBANI MPAKA SIKU NYINGINE WAKITENGENEZA
 
KIMOTKO WAKO VIZURI
 

we jamaa unaweza kusema zina expansheni joint
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…