Kampuni yenye gharama nafuu ni air tanzania. Booking ya ticket fanya online mkuu. Nafikiri itapendeza.Ndugu wanaJF, nina ndugu anahitaji kusafiri kwa moja ya mashirika ya ndege kutoka Dsm kwenda Mwanza hivi karibuni, swali ni kwamba;
Natanguliza shukrani kwa watakaojali na kusaidia katika hili
- Shirika gani la ndege lina bei zenye unafuu ikiwa mtu anasafiri na mtoto wa chini ya umri wa miaka 10?
- Utaratibu wa kupata ticket/booking toka Mikumi Morogoro
Ngoja waje mkuu, mi napandaga fuso za makebich, nikipanda basi ujue ni lookman ile ya zaman, nahc wazee wa mwanza mnaijua vzr, ukiipanda hakikisha umekula ugali wa kutosha na taulo la kufutia jasho, pili ng'ang'ania seat yako mana likikanyaga hata kisoda lazma uende mpaka kweny carier kwanza ukirud wazee washacover gap inakubd na wewe uwasubirie ufanye timing. Tatu ukishafka mwanza tatfa kituo cha afya kufanya realocation of organ, mana kuanzia tumbo, utumbo, figo, ini na nyongo yake vitakua vimehamia kooni.
Malipo nitumie Mimi jombaa alafu ntakupa password ya kuingilia airport sasa.Vipi kuhusu utaratibu wa malipo
Unalipa onlineVipi kuhusu utaratibu wa malipo
Unalipa online na unatumiwa e-ticketVipi kuhusu utaratibu wa malipo
Ndugu wanaJF, nina ndugu anahitaji kusafiri kwa moja ya mashirika ya ndege kutoka Dsm kwenda Mwanza hivi karibuni, swali ni kwamba;
Natanguliza shukrani kwa watakaojali na kusaidia katika hili
- Shirika gani la ndege lina bei zenye unafuu ikiwa mtu anasafiri na mtoto wa chini ya umri wa miaka 10?
- Utaratibu wa kupata ticket/booking toka Mikumi Morogoro
KIMOTKO WAKO VIZURIKWANI TUNA MANGAPI? LIPO MOJA TU LA SERIKALI NA WALE WENGINE WANAOHAIRISHA SAFARI BILA TAARIFA! UKIAMUA KUSAFIRI NA NDEGE UJIANDAE KISAIKOLOJIA UKIWA UWANJA WA NDEGE LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA.NDEGE WANAWEZA WAKAKUAMBIA IMEZUIWA CANADA NA WANAOTUDAI AU NYINGINE WAKAKUAMIA BADO IPO ZANZIBAR IMESHINDWA KUPAA NA WATAKUPA SODA URUDI NYUMBANI MPAKA SIKU NYINGINE WAKITENGENEZA
KWANI TUNA MANGAPI? LIPO MOJA TU LA SERIKALI NA WALE WENGINE WANAOHAIRISHA SAFARI BILA TAARIFA! UKIAMUA KUSAFIRI NA NDEGE UJIANDAE KISAIKOLOJIA UKIWA UWANJA WA NDEGE LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA.NDEGE WANAWEZA WAKAKUAMBIA IMEZUIWA CANADA NA WANAOTUDAI AU NYINGINE WAKAKUAMIA BADO IPO ZANZIBAR IMESHINDWA KUPAA NA WATAKUPA SODA URUDI NYUMBANI MPAKA SIKU NYINGINE WAKITENGENEZA
Tumia M-PESA mkuu.Vipi kuhusu utaratibu wa malipo
HE HE HAWA WASOMI WETU MWAKA HUU WATATUMALIZA! EXPANSION JOINTwe jamaa unaweza kusema zina expansheni joint