Msaada: Sd card kama ram

Msaada: Sd card kama ram

Mawenzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,251
Reaction score
347
Hamjambo wanaJF!!

Naomba msaada. Nina Tecno Phantom A+ ambayo ni rooted. Nawezaje kuifanya SD Card ikafanya kazi ya RAM? Ni 32 GB. Natanguliza Shukurani.
 
ipo app ya kufanya hivyo ila kabla sijakupa nihakikishie kwanza kama sd card yako ni class 6 kupanda, icheki nyuma hio memory card haina namba iliozungushiwa duara? kama ipo niambie ni namba gani
 
ipo app ya kufanya hivyo ila kabla sijakupa nihakikishie kwanza kama sd card yako ni class 6 kupanda, icheki nyuma hio memory card haina namba iliozungushiwa duara? kama ipo niambie ni namba gani

Chief, bahati mbaya ni class 4
 
Hamjambo wanaJF!!

Naomba msaada. Nina Tecno Phantom A+ ambayo ni rooted. Nawezaje kuifanya SD Card ikafanya kazi ya RAM? Ni 32 GB. Natanguliza Shukurani.

software inayohitajika hapo ni ya kulipia, na pia wana-recommend sd card ya class 4 at least
 
Tembelea hapa upate maujanja. http://forum.xda-developers.com/showthread.php?t=2422503[/URL]
 
RAM zinatengenezwa kwa njia nyingine sio kama SD Card, na pia ziko much much faster than SD Cards, nisingekushauri kutumia SD card yako kama RAM simply because mara nyingi hua zinafanya iende slow, alafu unaforce hardware ambayo inahusika na permanent storage kua kama ya temporary storage... kuna uwezekano pia wa kuharibu simu yako ukapata tabu tena kuifix
 
RAM zinatengenezwa kwa njia nyingine sio kama SD Card, na pia ziko much much faster than SD Cards, nisingekushauri kutumia SD card yako kama RAM simply because mara nyingi hua zinafanya iende slow, alafu unaforce hardware ambayo inahusika na permanent storage kua kama ya temporary storage... kuna uwezekano pia wa kuharibu simu yako ukapata tabu tena kuifix

Ahsante sana Drescon4
 
Back
Top Bottom