Software Engineer
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 344
- 136
Picha ninazopiga kwa kutumia simu yangu na kuzihifadhi kwenye memory card
1. Zinaonekana vizuri tuu masaa machache baada ya kupiga picha hizo
2. Zinakataa kufunguka au ku-preview baada ya siku moja au mbili baadaye
Wataalamu wa Data recovery naombeni msaada wenu
1. Zinaonekana vizuri tuu masaa machache baada ya kupiga picha hizo
2. Zinakataa kufunguka au ku-preview baada ya siku moja au mbili baadaye
Wataalamu wa Data recovery naombeni msaada wenu