Nina mdogo kafaulu shule ya secondary MALANGALI iliyopo mkoa wa iringa. naombbeni utaratibu wa kuhusu rangi ya UNIFoRM anazopaswa kwenda nazo. karibuni wadau
Nina mdogo kafaulu shule ya secondary MALANGALI iliyopo mkoa wa iringa. naombbeni utaratibu wa kuhusu rangi ya UNIFoRM anazopaswa kwenda nazo. karibuni wadau
Enzi za Mwl Jk Nyerere tulivaa kaki ila siku hizi wanavaa suti nyeusi tii. Na kwa jinsi ulivyouliza, huna mdogo ila ni wewe mwenyewe. Nnakutakia masomo mema na usinywe ulanzi huko isimikinyi, tambalang'ombe na itengule
Enzi za Mwl Jk Nyerere tulivaa kaki ila siku hizi wanavaa suti nyeusi tii. Na kwa jinsi ulivyouliza, huna mdogo ila ni wewe mwenyewe. Nnakutakia masomo mema na usinywe ulanzi huko isimikinyi, tambalang'ombe na itengule
Nina mdogo kafaulu shule ya secondary MALANGALI iliyopo mkoa wa iringa. naombbeni utaratibu wa kuhusu rangi ya UNIFoRM anazopaswa kwenda nazo. karibuni wadau
Enzi za Mwl Jk Nyerere tulivaa kaki ila siku hizi wanavaa suti nyeusi tii. Na kwa jinsi ulivyouliza, huna mdogo ila ni wewe mwenyewe. Nnakutakia masomo mema na usinywe ulanzi huko isimikinyi, tambalang'ombe na itengule