msaada rafikiye wife


dunia ina mambo kweli na usipoangalia utapoteza ndoa yako kwa huyo mjinga..

huna haja ya kujikausha, mwambie ukweli mtumie sms ya ukali mwambie akome kabisa upuuzi wake apeleke huko huko..tena mwambie ushamwambia wife wako kuhusu hiyo tabia yake ya kukupigia simu hadi usiku wa manane na kuongea lugha ya mapenzi..
anatakiwa ajue kuwa mkeo amejua huo u*s*h*e*nzi wake..huyo sio rafiki ni mkia wa fisi na mkimuendekeza atawafilisi..
 

Let's assume, you are Iniesta na mimi ni Messi.., hope u know wat am seyini...:glasses-nerdy:
 
makubwaaaa

yaani unashindwa kumkoremea?

kumwambia hutaki simu na message za kipuuzi? halafu nyie ndo vichwa vya familia?

halafu kwa nini mtu anakupigia saa sita usiku unapokea?

unamuentertain then unaomba ushauri??????/
 
Divert NAMBA iende kwa mkeo, halafu mwambie atume meseji ndio utamuelewa.pia kuelezea mkeo aache kuleta mashoga nyumbani.
we kyanaKyoMuhaya!!ushauri gani sasa huu!!unataka huyo mwanamke aishi kama kisiwa asitembelewe hata na shoga zake!!!hapo atakuwa anaikimbia dhambi siyo kuishinda!
 
Last edited by a moderator:
Mwambie kuwa huna mpango na mkeo anajua kuwa anajilengesha kwako ili asikusumbue na atakuwa anamkwepa mkeo.
 
Kama analipa we kanyaga tu,then kauka. Tena kula boga mwana. Mambo ya kawaida saana haya. Ila usichonge mzinga
 
mpe lara 1 hiyo kazi na namba ya huyo bidada tutamwonyesha habari ya mujini toa hiyo namba ila utoe kitu kidogo vocha na bia 5 ,atakusahau kabisa nakwambia ,tutasambaratisha hadi ubongo wake ,hizi ni ajira mjini hapa kaka yangu lol toa namba ongea na lara 1.serious kabisa .shoat nimekutafutia dili akutumie vocha kwa namba ukiingizana ukajipunguzia kwako kwanza then mfanyie kazi yake.
 
Last edited by a moderator:
 
Hivi kuna kitu cha kuomba ushauri hapo???Hukujua madhara ya utani na mke wa mtu????Kweli nimeamini siwezi kazi ya kutoa ushauri!!!!!
 

thanx 4good advice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…