jaman dunia inamambo! mke wangu alikua anakuja narafikie hm cha ajabu rafikie alikua mtu wautani sn kama nilivo me. siku hiz haish kunipigia cm mpaka sa 6 ucku na me np mbali na wife kwan np mwanza kikaz wf yupo dar chuo.anapopiga cm huongea maneno yakimapenz na mitego nikahic bado utan! wf kumbe alishagundua kitambo na aliambiwa na rafikie mwingine kua rafikio anamtaka mmeo hivyo kuwa macho na wife kanambia hayo juz2 baada kuona rafikie kaongeza kas!.sasa naomben ushaur namna ya kukata mawasiliano nae.binafc sina mpango wakumla na naipenda ndoa yangu.
jaman dunia inamambo! mke wangu alikua anakuja narafikie hm cha ajabu rafikie alikua mtu wautani sn kama nilivo me. siku hiz haish kunipigia cm mpaka sa 6 ucku na me np mbali na wife kwan np mwanza kikaz wf yupo dar chuo.anapopiga cm huongea maneno yakimapenz na mitego nikahic bado utan! wf kumbe alishagundua kitambo na aliambiwa na rafikie mwingine kua rafikio anamtaka mmeo hivyo kuwa macho na wife kanambia hayo juz2 baada kuona rafikie kaongeza kas!.sasa naomben ushaur namna ya kukata mawasiliano nae.binafc sina mpango wakumla na naipenda ndoa yangu.
Kwanza utani na fariki wa mkeo ni wanini? au anafika mpaka kuongea maneno ya mapenzi na wewe inakuwaje mapaka afike kote huko nani alimpa fursa hiyo? au akupigie simu usiku yeye akiwa kama nani kwako? ivi ikitokea mtu anafanya hivyo
tuseme rafiki yako anafanya hayo kwa mkeo utamuelewa mkeo? Kua mwanamme mwenye mamuzi na mwenye msimamo
hizo takataka zisikuharibie nyumba yako na kama angekua mwanamke mwenye adabu zake asinge jishaua kwako.....anataka ajue size yako na kiwango chako mchezoni hana haja nawewe....
mwambie 2 ukweli wake bwana ya nini umfiche na umwambie na mkeo kua rafiki yako anatabia flani basi utakua umekata mzizi wa fitina
Usipokee simu, kama unaweza block hiyo namba ni bora. Eti hauna ulazima nae la sivyo utaharibu unyumba wako bure.
we mkamue
tu then unajikataa!
Utoto unakusumbua!
Hivi kusema ukweli una miaka mingapi ya kuzaliwa?
jaman dunia inamambo! mke wangu alikua anakuja narafikie hm cha ajabu rafikie alikua mtu wautani sn kama nilivo me. siku hiz haish kunipigia cm mpaka sa 6 ucku na me np mbali na wife kwan np mwanza kikaz wf yupo dar chuo.anapopiga cm huongea maneno yakimapenz na mitego nikahic bado utan! wf kumbe alishagundua kitambo na aliambiwa na rafikie mwingine kua rafikio anamtaka mmeo hivyo kuwa macho na wife kanambia hayo juz2 baada kuona rafikie kaongeza kas!.sasa naomben ushaur namna ya kukata mawasiliano nae.binafc sina mpango wakumla na naipenda ndoa yangu.