Msaada Pumu ya ngozi (Eczema dermatitis)

Kama uko kanda ya ziwa nipm nikuelekeze kwa mtaalam. Mwanangu aliangaika sana na magonjwa ya ngozi huyo dr alinisaidia na sasa ni historia
We mpe jina la huyo mtaalam.
Mara nyingi twasafiri umbali mrefu, hata kwenda ng'ambo kutafuta tiba tu.
 
Mimi nina pumu ya kubana tangu 2003 sijawah kubanwa 2010 ikaanza hii ya ngozi nlihangaika miaka miwil nikatibiwa kinondoni dispensary 2012 jaman mwaka huu imeanza tena hapa sitazamik naogea madetto sijui manini ikiisha asubuh inaanza leo ndo balaa nimeamka mkono na uso na shingo havifai
 
Mimi walivyonipima allergy walinichanja chale nyingi sana mkononi,kama 30 hivi ,halafu kuna matone ya kimiminika wakawa wananidondoshea waliponichanja,nikawa nahumuka na kuvimba then dokta akawa anaangalia ndo ananiambia mwili wangu unareact na vitu gani
Mimi nilipimwa hivi hivi allergy zilikua nyingi, zingine haziepukiki lakini nimekaa 3yrs yani sijapata muwasho wa hivi, mwenzi wa tisa nikaanza kubanwa nimechoma masindano mara hii miwasho imerudi tena
 
Pole sana ndugu achana an dawa za kizungu hazito kusaidia mimi ninakupa huduma ya kwanza tumia hii kila siku asubuhi unapo maliza kuoga jipake mafuta ya nazi sehemu yenye hayo maradhi asubuhi na usiku unapo lala tumia kila siku .Ukitaka Dawa ya kumaliza Maradhi yako nitafute kwa wakati wako.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
sawa sawa mkuu ntakutafuta
 
sawa sawa mkuu ntakutafuta
IMG_20161224_095227.jpg
Yale mafuta nilikuahidi
 
Back
Top Bottom