MSAADA: PS3 yangu haiwi detected na Tv

worms

JF-Expert Member
Jul 29, 2017
964
894
Habari!

Kupitia thread mbalimbali ambazo wadau walianzisha kuhusu gaming niliamua kununua Playstation 3 used ili nami niweze kufurahia baadhi ya games mpya.

Mara ya kwanza ilikuwa poa tu natumia vizuri lakini ni zaidi ya wiki sasa kila niki-connect ps3 kwenye Tv kwa kutumia HDMI cable inaniandikia " No cable connected -check the cable connections and the settings of your source device"

Inanipa shida sana hii hali kwa sababu Ps3 ina mwezi tu tangu niichukue.

Msaada jamani.

N:B ps3 ipo jailbreaked.

Karibuni.
 
Habari!

Kupitia thread mbalimbali ambazo wadau walianzisha kuhusu gaming niliamua kununua Playstation 3 used ili nami niweze kufurahia baadhi ya games mpya....
- OK Embu jaribu ku connect vizuri hiyo HDMI au Angalia kama hiyo HDMI ni nzima

- PIA jaribu kuunganisha hiyo HDMI Then hold Power Button kwenye ps3 mpaka usikie Double beep kisha achia kama bado haionyeshi jaribu kutmia wire kama

  • RGB AU
  • ypbpr cable
kama bado tatizo lipo bas itakua hiyo ps3 imelose connection kwenye kitengo cha Display/Graphics

- Lakini kama ingekuwa imelose connection kwenye gpu Ingeleta YLOD
na kama ylod kukuna MIMI nahisi tu wire zako ni mbovu
 
Hiyo cable haina tatizo kweli? ukibadilisha waya je
Cable ni mpya na nikitumia ku-connect computer na tv ina-display vizuri kabisa na haileti shida yoyote.. nikiconnect ps3 to tv ndio shida
 
-OK Embu jaribu ku connect vizuri hiyo HDMI au Angalia kama hiyo HDMI ni nzima
-PIA jaribu kuunganisha hiyo HDMI Then hold Power Button kwenye ps3 mpaka usikie Double beep kisha achia kama bado haionyeshi jaribu kutmia wire kama
--RGB AU
--ypbpr cable
kama bado tatizo lipo bas itakua hiyo ps3 imelose connection kwenye kitengo cha Display/Graphics
---Lakini kama ingekuwa imelose connection kwenye gpu Ingeleta YLOD
na kama ylod kukuna MIMI nahisi tu wire zako ni mbovu
Sawa nashukuru.... Hdmi naona nzima kwasababu nikiunganisha laptop na tv haisumbui kabisa....

Ngoja nijaribu kuhold power button hadi nisikie double beep then naleta mrejesho sasa hivi... hivi haiwezi vuruga games ambazo nime-install
 
Sawa nashukuru.... Hdmi naona nzima kwasababu nikiunganisha laptop na tv haisumbui kabisa....

Ngoja nijaribu kuhold power button hadi nisikie double beep then naleta mrejesho sasa hivi... hivi haiwezi vuruga games ambazo nime-install
hiyo itavuruga setting zote za display tu.
na ita set up cable ambayo ipo kwa sasa
 
hiyo itavuruga setting zote za display tu.
na ita set up cable ambayo ipo kwa sasa
Nashukuru ndugu imekubali...
Nacheza vizuri..

Shida resolution imebadilika imekuwa 720p -500p na muonekano umekuwa mbaya kweli kweli.. je nitabadilishaje ili graphics ziwe vizuri? Display imekuwa ya hovyo sana ndugu na haifiti screen.
 
Nashukuru ndugu imekubali...
Nacheza vizuri..

Shida resolution imebadilika imekuwa 720p -500p na muonekano umekuwa mbaya kweli kweli.. je nitabadilishaje ili graphics ziwe vizuri? Display imekuwa ya hovyo sana ndugu na haifiti screen.
SETTING >> DISPLAY SETTINGS>>THEN WIRE UNAOTUMIA SELECT HDMI KISHA TICK 520 720P 1080I 1080P KISHA BONYEZA DIRECTION YA > KULIA KUTEST THEN SAVE
 
SETTING >> DISPLAY SETTINGS>>THEN WIRE UNAOTUMIA SELECT HDMI KISHA TICK 520 720P 1080I 1080P KISHA BONYEZA DIRECTION YA > KULIA KUTEST THEN SAVE
Dah inagoma kaka... inaleta black screen "No signal" halafu inarudia resolution ya 720p-576/50p ... sijui shida gani tena hii kwa sababu hapo mwanzo ilikuwa inanipa resolution ya 1080 mkuu
 
SETTING >> DISPLAY SETTINGS>>THEN WIRE UNAOTUMIA SELECT HDMI KISHA TICK 520 720P 1080I 1080P KISHA BONYEZA DIRECTION YA > KULIA KUTEST THEN SAVE
Nilijaribu ndugu ikagoma kabisa inakuwa black screen yenye maneno No SIGNAL
 
we zima kisha holp iyo power button ukisikia double beet achia kama umechomeka HDMI resolution itajiseti yenyewe kwenda 1080 then piga x
Nilifanya hivyo jana ikakubali kama ulivyonishauri...

Shida imekuja kwenye resolution imeshuka 720/560/50p na mwonekano ni mbaya kusema kweli...

Nilijaribu hata kwenda Settings- display settings- video output nikibadilisha manually kwenda 1080p inagoma hada niki-select 720 yenyewe inakuwa black screen na inaandika No Signal na maelezo mengine.

Pia haifiti screen size wakubwa inakuwa juu mstari mweusi na chini.

Nisaidieni jamani
 
Nilifanya hivyo jana ikakubali kama ulivyonishauri...

Shida imekuja kwenye resolution imeshuka 720/560/50p na mwonekano ni mbaya kusema kweli...

Nilijaribu hata kwenda Settings- display settings- video output nikibadilisha manually kwenda 1080p inagoma hada niki-select 720 yenyewe inakuwa black screen na inaandika No Signal na maelezo mengine.

Pia haifiti screen size wakubwa inakuwa mstari mweusi na chini.

Nisaidieni jamani
 
Nimeweza kurudishia vizuri inafanya kazi shida ni haipandi hadi 1080p kama ilivyokuwa mwanzo hata nikibadilisha inaandika no signal...

Inakubali ile option ya juu kabisa anbayo ni kama ipo by default
 
Msaada wakuu playstation 3 yangu ilikuwa inakatakata picha na kutulia wakati nacheza kipindi cha nyuma lakini sasa imekata picha kabisa wakati inatumika imekata picha kabisa tatizo nn wakuu
 
Back
Top Bottom