Msaada - Programming Languages

TZ boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2012
Posts
630
Reaction score
184
Is it better to learn html, javascript, php,
then mysql if you want to start your
site? Is it better to learn it in that order
or not or any advice for beginner please ?
 
Is it better to learn html, javascript, php,
then mysql if you want to start your
site? Is it better to learn it in that order
or not or any advice for beginner please ?

Ukienda na series iyo ni fresh zaidi
 
html -> php -> javascript -> mysql... naona ndo itakua rahisi, btw html sio programming language!!!
 
usisome php... we nenda na

HTML/CSS -> Javascript (Core na NodeJS) -> MYSQL/MONGODB

usome Nodejs badala ya php kwa sababu:

Kwanza ni javascript kwa hiyo hupotezi muda kusoma language mpya "php",

Pili ni rahisi sana kutengeneza site from zero hadi ikakamilika kwa muda mfupi sana kuliko php, site inayoweza kukuchukua mwezi kwenye php itakuchukua robo ya muda kwenye NodeJS,

Iko faster kwenye kazi nyingi sana kuliko php, ni full non-blocking io unlike php ni blocking io inachukua kazi sana kuandika nonblocking io script kwenye php...

Kingine kwa kua NodeJS ni javascript kuhandle JSON ni rahisi sana sababu ni kama native kwenye javascript, unlike kuparse json kwenye php inakua mziki zaidi...

Bado nodeJS inaweza kuhandle concurrent users wengi sana kuliko php, mfano kuhandle watu elfu kumi kwa wakati mmoja unaweza chomoka kirahisi sana kwenye machine moja unlike php utahitaji kuongeza server.

Faida ni nyingi kwa leo niishie hapo....
 

Asante kwa ushauri wako mkuu na ahidi nitaufanyia kazi kwa 100/% ..... asante sana.
 

kwan nodejs ni frontend or backend language??
 
Nadhani php ipo vzuri.. soma basics ukimaliza piga oop zen chagua framework moja upige.

codeigniter or laravel are the best.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…